Ukweli wa kifo cha Ndikumana kuzushiwa Niyonzima - JUA NEW

tech-pro

News is what everyone needs.It is a part of life getting informed about what you need to here and see. in here, we help you get it right. Everyone is a member of this blog. Feel free to give your suggestions.

demo-image

Post Top Ad

demo-image
niypoo

Ukweli wa kifo cha Ndikumana kuzushiwa Niyonzima

Share This
Responsive Ads Here








Haruna niyonzima ni mchezaji anaecheza nchin Tanzania ila akitokea nchini Rwanda. Kifo kimezushwa na mtu asiejulikana akadai kuwa haruna niyonzima alifaliki dunia baada ya kupata ajali ya gali. Lakini tarifa hii haikua sahihi maana aliefaliki anaitwa Ndikumana na wala sio Niyonzima.

Alaani taarifa hiyo Niyonzima anasema kuwa yeye yuu mzima na hajapata ajali yoyote kama watu wanavyosema katika mitandao mbalimbali hapa Tanzania.
Ndikumana alianza kuumwa kichwa na baadae kwenda hospitalini na hatimae akafaliki dunia akiwa hospitalini.
Comment Using!!

Featured Post

Ukweli wa kifo cha Ndikumana kuzushiwa Niyonzima

Haruna niyonzima ni mchezaji anaecheza nchin Tanzania ila akitokea nchini Rwanda. Kifo kimezushwa na mtu asiejulikana akadai kuwa haruna n...

niypoo

Post Bottom Ad

Pages